
Friday, 30 December 2011
Monday, 26 December 2011
Sunday, 25 December 2011
Saturday, 30 July 2011
Friday, 22 July 2011


VIPIMO;
K.W. 75
VOLTS 240
R.P.M. 1700
AMPS 313
Hii ni project nilikuwa nataka kuifanya katika shamba langu lakini kutokana na matatizo ya kipesa inabidi kuiuza kwa shingo upande.Hii moter ukinunua nitaweza kukupatia kitabu ambacho kinamaelezo ya kuhusu matumizi ya umeme wa jua na upepo.Na kitakusaidia kupata ushauri wa project utakayoifanya.Ukinunua kinu hiki utahitajika kutafuta mlingoti mrefu pamoja na tangaboi na pengine ukahitaji betry na inveter kwa ajili ya kuhifadhi umeme wako.Kwa kuwa sina ujuzi mwingi wa kukueleza zaidi ya haya,natumaini maelezo niliyotoa yakasaidia kwa kiwango fulani.Lakini nauhakika kama unaweza kumpata fundi wa umeme mwenye ujuzi mzuri ataweza kukupa ushauri mzuri zaidi na pengine kwa gharama ndogo.Hiki kinu kipo Dar es salaam kwa sasa na mimi nahitaji shs MILIONI SABA NA NUSU.Tafadhali naomba uwasiliane nami ktk mtandao huu au piga simu kwa HABIBU 0717810318
Hii ni project nilikuwa nataka kuifanya katika shamba langu lakini kutokana na matatizo ya kipesa inabidi kuiuza kwa shingo upande.Hii moter ukinunua nitaweza kukupatia kitabu ambacho kinamaelezo ya kuhusu matumizi ya umeme wa jua na upepo.Na kitakusaidia kupata ushauri wa project utakayoifanya.Ukinunua kinu hiki utahitajika kutafuta mlingoti mrefu pamoja na tangaboi na pengine ukahitaji betry na inveter kwa ajili ya kuhifadhi umeme wako.Kwa kuwa sina ujuzi mwingi wa kukueleza zaidi ya haya,natumaini maelezo niliyotoa yakasaidia kwa kiwango fulani.Lakini nauhakika kama unaweza kumpata fundi wa umeme mwenye ujuzi mzuri ataweza kukupa ushauri mzuri zaidi na pengine kwa gharama ndogo.Hiki kinu kipo Dar es salaam kwa sasa na mimi nahitaji shs MILIONI SABA NA NUSU.Tafadhali naomba uwasiliane nami ktk mtandao huu au piga simu kwa HABIBU 0717810318
Sunday, 17 July 2011



3 inch WATER PUMP FOR SALE.
KAWASAKI FA130 PETROL, IN GOOD WORKING ORDER AND RELIABLE,COMING WITH TWO ROLLS OF LAY FLAT OUTLET PIPE WITH CLIPS EACH 18ft LONG .
HII PUMP IPO UINGEREZA HIVI SASA LAKINI NATEGEMEA KUPATA USAFIRI MPAKA ZANZIBAR NA MATEGEMEO YA KUFIKA NI MWISHONI MWA AUGUST.BEI NI SHS 1.2 MILION AU MAELEWANO.TAFADHALI NITUMIE UJUMBE KTK MTANDAO HUU AU UNAWEZA KUNITUMIA TEXT 00447415645132 AU PIGA NUMBER 0717810318
Tuesday, 12 July 2011

SOUTH SUDAN PRESIDENT'S SON EMBRACES ISLAM.
One of the sudan's president SALVA KIIR has repotedly converted to Islam following the country Independence.
JOHN converted to Islam in a mosque in KHARTOUM,the sudanese news paper Al-Intibaha reported on saturday.
"I embrace Islam because I want the heaven,and will return to the south and call on people to convert to Islam,said JOHN who change his name to MOHAMMED"
Monday, 11 July 2011

Thursday, 7 July 2011
Saturday, 28 May 2011
keronyingi.blogspot.com: Mtemi Saidi Fundikira (Sultan Said) 1917-1927
keronyingi.blogspot.com: Mtemi Saidi Fundikira (Sultan Said) 1917-1927: "Hili ndilo kaburi la Mtemi Said Fundikira alizikwa hapo mwaka 1961. Mtemi Saidi Fundikira (Sultan Said) huyu alikuwa Mtemi maarufu sa..."
Friday, 27 May 2011
Thursday, 26 May 2011
keronyingi.blogspot.com: Udadisi wa kifo cha Osama unaponiponza kutuhumiwa ...
keronyingi.blogspot.com: Udadisi wa kifo cha Osama unaponiponza kutuhumiwa ...: "Mimi na Rugeh Mutahaba wa clouds Fm. Mpendwa mdau kama unakumbuka siku kadhaa nyuma niliandika makala yenye kichwa 'Kwa jinsi tunavyoijua..."
Wednesday, 25 May 2011
MWISHO WA DUNIA ULITABIRIWA 21-05-2011


Mhubiri wa dini bwana Harold Camping mwenye umri wa miaka 89 kutoka Oaklnd,Califonia ,alitabiri mwisho wa dunia.Mhubiri huyu alitangaza kupitia "Familly Radio"ambayo inarusha matangazo na kuhubiri dini ya kikristu.Alitabiri mwisho huu ni siku ya jumamosi tarehe 21-05-2011 na akasema ya kwamba asilimia mbili (2%) wataingia peponi na watakaobaki watapelekwa sehemu tofauti.Lakini kiliwashangaza wengi kwa wale waliosikiliza habari hiyo kupitia Familly Radio kutoona mwisho huo aliouzungumzia na kuwapa watu mshangao na kujiuliza maswali mengi.Na amesikika katika televisheni akiomba radhi watu kwa kutotabiri kwa usahihi.Sasa tusubiri utabiri ujao kama kweli sisi binadamu tunanguvu ya kujua mambo aliyoyapanga mwenyezi mungu,na yana siri kubwa na hakuna atakayekuwa na uwezo wa kujua siri hiyo.
Saturday, 21 May 2011
Monday, 9 May 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)