

VIPIMO;
K.W. 75
VOLTS 240
R.P.M. 1700
AMPS 313
Hii ni project nilikuwa nataka kuifanya katika shamba langu lakini kutokana na matatizo ya kipesa inabidi kuiuza kwa shingo upande.Hii moter ukinunua nitaweza kukupatia kitabu ambacho kinamaelezo ya kuhusu matumizi ya umeme wa jua na upepo.Na kitakusaidia kupata ushauri wa project utakayoifanya.Ukinunua kinu hiki utahitajika kutafuta mlingoti mrefu pamoja na tangaboi na pengine ukahitaji betry na inveter kwa ajili ya kuhifadhi umeme wako.Kwa kuwa sina ujuzi mwingi wa kukueleza zaidi ya haya,natumaini maelezo niliyotoa yakasaidia kwa kiwango fulani.Lakini nauhakika kama unaweza kumpata fundi wa umeme mwenye ujuzi mzuri ataweza kukupa ushauri mzuri zaidi na pengine kwa gharama ndogo.Hiki kinu kipo Dar es salaam kwa sasa na mimi nahitaji shs MILIONI SABA NA NUSU.Tafadhali naomba uwasiliane nami ktk mtandao huu au piga simu kwa HABIBU 0717810318
Hii ni project nilikuwa nataka kuifanya katika shamba langu lakini kutokana na matatizo ya kipesa inabidi kuiuza kwa shingo upande.Hii moter ukinunua nitaweza kukupatia kitabu ambacho kinamaelezo ya kuhusu matumizi ya umeme wa jua na upepo.Na kitakusaidia kupata ushauri wa project utakayoifanya.Ukinunua kinu hiki utahitajika kutafuta mlingoti mrefu pamoja na tangaboi na pengine ukahitaji betry na inveter kwa ajili ya kuhifadhi umeme wako.Kwa kuwa sina ujuzi mwingi wa kukueleza zaidi ya haya,natumaini maelezo niliyotoa yakasaidia kwa kiwango fulani.Lakini nauhakika kama unaweza kumpata fundi wa umeme mwenye ujuzi mzuri ataweza kukupa ushauri mzuri zaidi na pengine kwa gharama ndogo.Hiki kinu kipo Dar es salaam kwa sasa na mimi nahitaji shs MILIONI SABA NA NUSU.Tafadhali naomba uwasiliane nami ktk mtandao huu au piga simu kwa HABIBU 0717810318
No comments:
Post a Comment