Monday 11 July 2011

Beckham(36) na Posh -Victoria (37) wakiwa na furaha ya kupata mtoto wa kike.Mtoto huyu amezaliwa LA 7:55am kwa saa za USA,trehe 10 mwezi wa 7,akiwa na uzito wa 7lb 10oz,na jina la mtoto ni Harper Seven,number 7 ndio number ya beckham mashuhuri wakati akichezea "Manchester United".

No comments:

Post a Comment