Monday 26 December 2011

Old Stone Town

The inner courtyard


The old dispensary




Forodhani






The Stone Town in Zanzibar

Sunday 25 December 2011

The old mosque in Zanzibar



The Kizimkazi Mosque located in South of stone Town (Zanzibar)was build in 1107 AD.

Saturday 30 July 2011








KUTESA KWA ZAMU




Africa is soooooooooo beautifull

Friday 22 July 2011







Hiki ni kinu cha kuzalisha UMEME (moter)ambayo inauwezo wa kuzalisha K.W 75.Moter hii imetengenezwa England na inafanya kazi na ipo ktk hali nzuri.Kinu hiki kitazalisha umeme kwa njia ya upepo yaani kwa kutumia (WIND TURBINE)tangaboi na si mafuta kama inavyo tumika ktk generator ya kawaida.Hiki ni chombo ambacho kinathamani kubwa kutokana na matumizi yake kuwa ni ya rahisi au tuseme ni bure kwakuwa ni kutumia upepo badala ya mafuta ambayo yana gharama kubwa.Kwakuwa K.W.75 ni kubwa sana ktk matumizi ya nyumbani hivyo kinauwezo wa kuendesha hata kiwanda cha wastani.Kwa kukadiria matumizi ya umeme ktk nyumba inaweza kufikia K.W. 6 au 7.Na kama mtu ataamua kuifanya hii projet kwa matumizi ya nyumbani basi anao uwezo wa kuuza umeme kwa majirani.




VIPIMO;




K.W. 75




VOLTS 240




R.P.M. 1700




AMPS 313
Hii ni project nilikuwa nataka kuifanya katika shamba langu lakini kutokana na matatizo ya kipesa inabidi kuiuza kwa shingo upande.Hii moter ukinunua nitaweza kukupatia kitabu ambacho kinamaelezo ya kuhusu matumizi ya umeme wa jua na upepo.Na kitakusaidia kupata ushauri wa project utakayoifanya.Ukinunua kinu hiki utahitajika kutafuta mlingoti mrefu pamoja na tangaboi na pengine ukahitaji betry na inveter kwa ajili ya kuhifadhi umeme wako.Kwa kuwa sina ujuzi mwingi wa kukueleza zaidi ya haya,natumaini maelezo niliyotoa yakasaidia kwa kiwango fulani.Lakini nauhakika kama unaweza kumpata fundi wa umeme mwenye ujuzi mzuri ataweza kukupa ushauri mzuri zaidi na pengine kwa gharama ndogo.Hiki kinu kipo Dar es salaam kwa sasa na mimi nahitaji shs MILIONI SABA NA NUSU.Tafadhali naomba uwasiliane nami ktk mtandao huu au piga simu kwa HABIBU 0717810318





Sunday 17 July 2011
























3 inch WATER PUMP FOR SALE.





KAWASAKI FA130 PETROL, IN GOOD WORKING ORDER AND RELIABLE,COMING WITH TWO ROLLS OF LAY FLAT OUTLET PIPE WITH CLIPS EACH 18ft LONG .




HII PUMP IPO UINGEREZA HIVI SASA LAKINI NATEGEMEA KUPATA USAFIRI MPAKA ZANZIBAR NA MATEGEMEO YA KUFIKA NI MWISHONI MWA AUGUST.BEI NI SHS 1.2 MILION AU MAELEWANO.TAFADHALI NITUMIE UJUMBE KTK MTANDAO HUU AU UNAWEZA KUNITUMIA TEXT 00447415645132 AU PIGA NUMBER 0717810318

Tuesday 12 July 2011



SOUTH SUDAN PRESIDENT'S SON EMBRACES ISLAM.



One of the sudan's president SALVA KIIR has repotedly converted to Islam following the country Independence.



JOHN converted to Islam in a mosque in KHARTOUM,the sudanese news paper Al-Intibaha reported on saturday.



"I embrace Islam because I want the heaven,and will return to the south and call on people to convert to Islam,said JOHN who change his name to MOHAMMED"



Monday 11 July 2011

Beckham(36) na Posh -Victoria (37) wakiwa na furaha ya kupata mtoto wa kike.Mtoto huyu amezaliwa LA 7:55am kwa saa za USA,trehe 10 mwezi wa 7,akiwa na uzito wa 7lb 10oz,na jina la mtoto ni Harper Seven,number 7 ndio number ya beckham mashuhuri wakati akichezea "Manchester United".

Thursday 7 July 2011













CHINA IMEJENGA DARAJA KUBWA KULIKO DARAJA LOLOTE HAPA DUNIANI.

Saturday 28 May 2011

keronyingi.blogspot.com: Mtemi Saidi Fundikira (Sultan Said) 1917-1927

keronyingi.blogspot.com: Mtemi Saidi Fundikira (Sultan Said) 1917-1927: "Hili ndilo kaburi la Mtemi Said Fundikira alizikwa hapo mwaka 1961. Mtemi Saidi Fundikira (Sultan Said) huyu alikuwa Mtemi maarufu sa..."

Friday 27 May 2011

LONDON BRIDGE



Hii ndio London bridge iliyopo katika mji wa London nchini uingereza.

TOWER BRIDGE



Hii inaitwa Tower bridge na ipo katika mji wa London nchini uingereza.

Thursday 26 May 2011

keronyingi.blogspot.com: Udadisi wa kifo cha Osama unaponiponza kutuhumiwa ...

keronyingi.blogspot.com: Udadisi wa kifo cha Osama unaponiponza kutuhumiwa ...: "Mimi na Rugeh Mutahaba wa clouds Fm. Mpendwa mdau kama unakumbuka siku kadhaa nyuma niliandika makala yenye kichwa 'Kwa jinsi tunavyoijua..."

Wednesday 25 May 2011

MWISHO WA DUNIA ULITABIRIWA 21-05-2011







Mhubiri wa dini bwana Harold Camping mwenye umri wa miaka 89 kutoka Oaklnd,Califonia ,alitabiri mwisho wa dunia.Mhubiri huyu alitangaza kupitia "Familly Radio"ambayo inarusha matangazo na kuhubiri dini ya kikristu.Alitabiri mwisho huu ni siku ya jumamosi tarehe 21-05-2011 na akasema ya kwamba asilimia mbili (2%) wataingia peponi na watakaobaki watapelekwa sehemu tofauti.Lakini kiliwashangaza wengi kwa wale waliosikiliza habari hiyo kupitia Familly Radio kutoona mwisho huo aliouzungumzia na kuwapa watu mshangao na kujiuliza maswali mengi.Na amesikika katika televisheni akiomba radhi watu kwa kutotabiri kwa usahihi.Sasa tusubiri utabiri ujao kama kweli sisi binadamu tunanguvu ya kujua mambo aliyoyapanga mwenyezi mungu,na yana siri kubwa na hakuna atakayekuwa na uwezo wa kujua siri hiyo.

Saturday 21 May 2011

Ubunifu Uliokomaa



Kwa wanaoijua Zanzibar watapajua hapa ni wapi.